tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Friday, September 9, 2016

Mbuzi wa IDD

Family walinunua mbuzi wa IDD kabla kwa miezi miwilli.
Mbuzi akawazoea sana hio family na akawa anakula nao na kulala nao.
Siku ya IDD ilipokaribia mbuzi aliingia nyumbani huku machozi yanamtoka
Akaulizwa kwa nini unalia?
Akasema majirani wote wamenunua mbuzi wa IDD isipokuwa sisi.