tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Monday, September 19, 2016

Simu

Siku moja mfanyakazi alienda ofisini uku masikio
yake yote mawili yakiwa yamefungwa bandeji.
Bosi wake akamuuliza imekuaje kuhusu masikio
yako?. Jamaa akajibu.
"jana wakati napiga pasi nguo zangu, simu iliita, kwa
bahati mbaya badala ya kuweka simu sikioni nikaweka pasi".
"Sawa" Bosi akasema, "iyo ni kuhusu sikio moja, na
ilo sikio lingine ilikuaje?" Jamaa akajibu
"simu iliita tena!"