tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Thursday, September 29, 2016

Nyoka

umerud geto mida ya saa mbil ucku unaingia ndan ghafla unamuona nyoka kanyanyua shngo juu ana chzesha mkia na ki ulimi kinatoka toka nje.....Kwa ujasili unaamua kuchukua fmbo ili kumuua ...lkn ulivo jasiri zaid unaamua kufnga na mlango af funguo unatupia ktndan unajarbu kumdhuru lkn ghafla umeme unakatika
Hapo ndo utajua nobody can stop Reggae