tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Sunday, September 11, 2016

Mkopo wa Chuo

Wenzako wanapokea mshahara M3 kila mwezi na bado wako single,wewe unapokea mkopo wa chuo unatuambia unataka kuoa....!!
Ulitakiwa upigwe KOFI la kichwa tu restore settings.
#PumbavuKabisa