tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Wednesday, September 21, 2016

Nilikula kuku

Unamualika binti luch harafu anakuja na maringo, eti oooh.....! Bebe ata sitakula wakati natoka home nilikula kuku....!!

Wewe kwa ugetlemen wako unamnunulia Whisky ya Jack Daniels ya elfu hamsini!

Baada ya binti wa watu kunywa mafunda kadhaa anatapika makande na mahindi ya kuchoma wallah...!!

Sasa apo inabidi umulize romantically .....!!

Sory baby...! Uko sure ulikula kuku au chakula cha kuku