tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Monday, March 28, 2011

we chizi kweli, si mimi huyu

Walevi wawili wakiwa njiani waliokota kioo kidogo cha make-up hali ikawa hivi wakati wanajiangalia:

Mlevi One: Hii sura si ngeni ila jina sikumbuki kabisa.

mwenzake akamnyang'anya na kujiangalia kisha akasema hivi:
Mlevi Two: Aaah, we chizi kweli, si mimi huyu.