tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Monday, March 7, 2011

tumeokota mtoto wa kichina

Kuna siku polisi wawili wa kiTZ katika matembezi yao waliokota mtoto
wa mwezi mmoja mwenye sura ya kichina.Wakashauriana nini cha kufanya
na kupata jibu.Kesho yake asubuhi wakaenda kwenye chuo kimoja
kinachotoa mafunzo ya lugha mbalimbali na mahojiano yalikuwa hivi:
polisi; tunahitaji kujifunza lugha ya kichina.
Mwalimu:kwa nini mmeamua kujifunza kichina.
Polisi: tumeokota mtoto wa kichina hivyo tunataka akianza kuongea
tuweze kumuelewa anachosema.