tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Monday, March 28, 2011

safari ya kwenda kwa babu

Hakuna zawadi nzuri kipindi hichi kama kumzawadia mtu safari ya kwenda kwa babu, lakini mimi nakuzawadia safari ya kwenda kijijini kwa babu yako. maana umesahau kama na wewe unababu, ukisikia jina babu tu tiyari unamuwaza wa loliondo tu.