tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Monday, March 28, 2011

inawezekana kutabiri jambo la mbele

Mwalimu aliuliza darasani, "inawezekana kutabiri jambo la mbele?"
Mtoto mmoja akajibu, "ndio! Mama huwa akiangalia daftari langu la hesabu huniambia, subiri baba yako arudi uone."