tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Monday, March 28, 2011

mnahitaji kitu chochote cha ziada

Mume na mke walipokelewa mizigo hotelini na mhudumu mpaka chumbani. Kisha mhudu akauliza ''mnaweza mkawa mnahitaji kitu chochote cha ziada?''

Mume akajibu: ''asante, hamna.''

Mhudumu akauliza tena ''labda mkeo atahitaji kitu?''
mume akajibu: ''oh, nashukuru kwa kunikumbusha, mnauza kucha za kubandika?''