tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Monday, March 28, 2011

Mental mmoja alikua ghorofa ya 50, chini kulikua na mwanamke mnene. Alikua akimuona mdogo kama gololi.
Akashuka ghorofa kadhaa kwa awamu uku akizidi muona mkubwa. Alipofika chini akaenda mkumbatia.
Mdada mnene: We ni nani?
Mental: Nimekufahamu tangu ukiwa mdogo kama gololi.