tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Monday, March 28, 2011

Tofauti kati ya Wahehe na Wasambaa

Tofauti yetu kubwa kati ya Wahehe-Iringa na  Wasambaa-Tanga ni kuwa wahehe wao ni 'nakusage sambi sako mwenyewe' afu unapiga mtama ndo unamaliza mambo wakati wasambaa ni kuwa wakati unamvua binti nguo upande huu,binti huwa anakataa kata kata huku akikusaidia kuvua upande wa pili,yaani kazi kweli kweli!