tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Monday, March 7, 2011

mtihani alofanya mtoto wa kihindi

Hii ilikutwa kwenye mtihani alofanya mtoto wa kihindi wakati akijibu
maswali ya methali


swali; bandu bandu.....
Jibu: Iko dugu yake patel iko nakaa bombay


swali: Mtaka cha uvunguni......
Jibu: Iko na binua tanda


swali: Simba mwenda pole....
Jibu: Iko fungwa na yanga


swali; simba akinguruma...
Jibu: Yanga yote nakimbia


swali: Zimwi likujualo....
Jibu: Iko fata veve hadi jumbani yako