tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Monday, March 28, 2011

yakilomita 300 toka nyumbani kwangu

Dokta alimshauri jamaa akimbie kwa siku 30 ili apungue uzito.
Siku 30 baadae jamaa kwenye simu alimpigia dokta, "dokta asante sana nimepungua uzito na hata unene pia, ila sasa ntarudije nipo zaidi ya kilomita 300 toka nyumbani kwangu na nimechoka sana na sina hata hela?"