tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Wednesday, September 17, 2014

Chaupele

Jost: mambo mrembo, mbona kimya?
Chaupele: unanitaka unagari lakini?
Jost: gari?
Chaupele: ndio gari.
Jost: sina gari.
Chaupele: basi acha kunifuata fuata hunifai
Jost: vipi kwani we unalo?
Chaupele: sina gari.
Jost: una sehemu ya kuosha magari au garage?
Chaupele: sina
Jost: baba yako analo gari?
Chaupele: Hana gari.
Jost: sasa wewe mazoea ya kupanda gari umeyatoa wapi?

Chaupele: nyooooo….. mbwa weee unikome!

baba ni mbahili sana

Baba alikuwa na tabia ya kulala na dada wa kazi, siku moja mtoto wake wa kiume akamfumania:
Baba: Mwanangu, ebu chukua hii Shs 500 halafu usimuambie mama yako kuwa nimelala na dada.

Mtoto: sitaki, we baba ni mbahili sana, mbona mama akilala na mlinzi ananipaga Shs. 1,000?

Monday, July 14, 2014

mara ya mwisho kuongea na boyfriend wako lini?

binti mmoja wa kidato cha kwanza akiwa anatoka shule simu yake iliita alipoitoa akaona ni namba ngeni kwake. alipopokea akakutana na sauti ya kiume na ikamuuliza
mwanaume: Mara ya mwisho kuonana na boyfriend wako ilikuwa lini?
bint: jana jioni nikiwa natoka shule.
mwanaume: kumbe we mtoto una wanaume ngoja urudi nyumbani utanitambua, maana mama yako alikuwa ananiambia nambishia.
bint: baba nilikuwa natania tu, nilijua ni wavulana wanaonisumbua ndio maana nikasema hivyo.
baba yake akakata simu, yule binti akiwa anakaribia kufika nyumbani simu ikaita tena na ninamba mpya na tofauti na ya mwanzo, alipopokea akasikia tena sauti ya kiume.
mwanaume: una boyfriend?
binti: hapana sina
mwanaume: kumbe hunipendi eeh yaani unanikana?
binti: samahani mpenzi nilijua baba yangu, nakupenda sana na ndio maana nikatoroka jana jioni na kuja kwako.
mwanaume: pumbavu, utanikoma nilitaka kupata ushahidi zaidi, juu ya huo upumbavu wako.
Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania

kanyonyeshe mtoto

MKE: Mbona hawa Brazil hawamchezeshi Neymar ?
MME: Aliumia mechi iliyopita, hawezi kucheza
MKE: Mbona hawajamkodiMESSI??
MME: Hairuhusiwi kukodi... izo sio nyumba za kupanga
kwamba unahamia tu,mpaka uwe una uraia waNchi
yako.
MKE: Mbona hadi wanawake wanacheza umo
uwanjani?
MME :Wapo wapi hao wanawake?
MKE: Si hao wa Brazil wenye
nywele ndefu?
MME: hapana hao ni Wanaume wanaitwa David Luiz na
WILLIUM
MKE: Mbona hao wengine wanapiga Penati 5
wenyewe? eti Refa anapendelea?
MME: Hakuna Penati hapo ni magoli,Brazil wamezidiwa
wanafungwa.
MKE: Mbona Goli 7 ni nyingi na ni Dk ya 80, kwanini
refa
hamalizii tu hapo si bingwa alishajulikana.
MME: Sheria ya mpira mpaka Dk 90 zitimie..
MKE: Huu si mpira wa miguu??
MME: Ndio we unaonaje?
MKE: mbona huyo mwingine anadaka na mikono?
MME: huyo ni kipa
MKE: kwanini huyu Kipa wa Brazil asikimbie na mpira
hadi goli
jingine alafu afunge apunguze magoli au hajui huo
ujanja?
MME: kanyonyeshe mtoto ameamka...
Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania

Wednesday, July 9, 2014

Unaumwa nini

Kuna babu mmoja alikutwa stendi ya mabasi analia sana. Wasamaria wema wakaamua kumsaidia yule babu lakini kila walipokuwa wakimwuliza, “Babu unalilia nini?” akawa hasemi anaendelea kulia tu, wasamaria wema wakaamua kumbeba hadi hospitali. Walipofika hospitali daktari akamwuliza babu tatizo lake ili aweze kumsaidia,
Daktari: Mzee unaumwa nini?
Babu: (Akaendelea kulia kwa muda)
Daktari: Eti babu yangu nini kinakusumbua? Unaumwa nini nikutibu?

Babu: SIUMWI ILA VIATU VINANIBANA!!!

wamekubaliana na baba

Baba, mtoto wake na jiran yao,walikuwa wawindaji wa wanyawa pori, kwa kutumia mtego mkubwa wa nyavu (IKILA). Kawaida ya mtego huo mmoja akae mwishoni mwa urefu na mwingine nae mwshoni vilevlie. Sasa mzee akawa atatafuta wanyama kila kichaka, bahati nzuir akatokea mnyama aina ya NGIRI, mnyama huyu huwa ana meno mawili yaliyo tokokeza nje, akaelekezwa na mzee kwnye mtego, akalenga upande wa mtoto, badala ya kumuuwa, akamkwepa. Alpoulizwa vipi wewe? kasema, mnyama mwenyewe alikuwa anacheka, mi nikadhani yawezekana kuna maelewano wamekubaliana na baba.

Dawa ya kuacha Pombe

Mlevi nae akaenda kupata dawa ya kuacha pombe, akambiwa awe anameza vidonge viwili mara tatu kwa siku, akamuuliza dr, hizi dawa kwani zinamadhara nikimeza alafu nikanywa pombe?

dawa ya kuacha bangi

Mshikaji alienda kwa Dr kupata dawa ya kuacha bangi, dr akamwambia awe anameza mara tatu kwa siku, mshikaji akamuuliza niwe nameza baada ya kuvuta bangi au kabla?

kama Mvua inanyesha

Jamaa alikuwa Ktandani na mke wa mtu mwenyewe akarudi na kugonga Mlango Mke akamwambia Jamaa pitia dirishan Kimbia, jamaa akaanza kubisha eti nje Kuna Mvua, Mwanamke akamwambia Mme wangu ana hasira na ana Pisto, jamaa akachukua Nguo zake na kuruka dirishani na Kukimbia kufika Barabarani akakuta watu wengi wanakimbia wako kwenye Mashindano ya mbio nae akajiunga mmoja akamuulza mbona unakimbia Uchi? Jamaa akajibu napenda sana kukimbia hivi najisikia poa, mwingine akamwambia ndo ukimbie Nguo umebana kwapani? Akajbu sasa niziweke wapi? Mwingine akamuulza kwa hiyo kila ukiwa unakimbia unavaa Kondom? Jamaa huwa navaa kama Mvua inanyesha.

kufanyiwa usaili

Jost alikuwa anatafuta kazi sana... akaenda ofisi moja na kuanza kufanyiwa usaili,
Afisa: una akili timam
Jost: ndio, ninazo.
Afisa: 1 + 1 =?
Jost: 2
Afisa: nani alimuua Abraham Lincorin?
Jost: mhh! Sijui
Afisa: okey! Kalifanyie kazi hilo afu kesho urudi hapa...
Jost akaenda kwa rafik yake, akaulizwa umepata kazi?

Jost akajibu “ndio, tena nzito kweli, nashughulikia kesi ya mauaji.”

Saturday, June 14, 2014

hai beibi

Sista duu amesmama kituoni kwa
pozi zote mara daladala
ikatokea!..akaismamisha kwa mnato
na kupanda!...
Konda: "hai beibi"
Sista duu: (kimya) huku akitingisha
kichwa
Konda: "hai beibi"
Sista duu: "hebu ntolee kelele,kwani
salamu lazima"
Konda: "sijakusalimia nimekwambia
daladala haibebi"

DENI WATALIPA WAJUKUU ZAKO

Kuna hotel imeandikwa "KULA UWEZO WAKO DENI WATALIPA WAJUKUU ZAKO". Jamaa akaingia akajivinjari mlo kinoma ilipoletwa bili akaruka! Jamaa:Oya mhudumu pale nje mmeandika vipi au hujui kuxoma au huelew maandish? Mhudumu:Najua na nimeelewa, ila hii sio bili yako alikula babu yako..! Jamaa akazimiaKuna hotel imeandikwa "KULA UWEZO WAKO DENI WATALIPA WAJUKUU ZAKO". Jamaa akaingia akajivinjari mlo kinoma ilipoletwa bili akaruka! Jamaa:Oya mhudumu pale nje mmeandika vipi au hujui kuxoma au huelew maandish? Mhudumu:Najua na nimeelewa, ila hii sio bili yako alikula babu yako..! Jamaa akazimia

WATCHING A FOOTBALL

WATCHING A FOOTBALL GAME WITH A
GIRL IS STRESS.
girl- hey beib, who is that guy? is he
chris brown?
BOY- no, thats theo walcott!
girl- oh beib, whats that yellow card for?
BOY- thats sounds a warning to a
player and a red card is to sent a
player off the field.
girl- what about green card?
BOY- nothing like that!
girl- hey beib, i want arsenal to win
the world cup, my friend daily
supports brazil but i dont like that.
boy- silent
girl- WHO IS THAT COACH?
boy- arsene wenger.
girl- ahaa. . so it seems the other
coach is manchest wenger? ?. . .
boy

Wamenikata kidole

Watoto wapo hospitali,
mtoto wa kwanza kamwona mwenzie analia
ikawa hivi :-
Mtoto wa 1: Unalia nini?
Mtoto wa 2: Nimekuja kupima damu.
Mtoto wa 1: Ndio sababu unalia?
Mtoto wa 2: Wamenikata kidole changu.
Mtoto wa 1 Na yeye kaangua kilio, kilio balaa zaidi ya mwenzie!!.
Mtoto wa 2: Unalia nini?
Mtoto wa 1: Nimekuja kupima mkojo...!!

Friday, June 6, 2014

SURA YA MZIKAJI

Katika kijiji cha Matare wilaya ya
Mugumu Serengeti, bwana
Wambura alikamatwa kwa kesi ya
kusingiziwa na kuhukumiwa kwenda
jela miaka mitatu.
Huku nyuma akiacha mke na
watoto wanne waliokuwa
wanasoma. Hukumu hiyo ilimtesa
sana kichwa chake, alitamani kila
mtu anayemhisi kuwa ana makosa
aingie katika moyo wake na
kuupata ukweli.
Alilia na umaskini wake, lambda
angepata wakili mzuri angeweza
kumtetea, kumkosa wakili
kukahalalisha kifungo hicho!!
Alikwenda gerezani huku akiumia
sana rohoni. Aliyaanza maisha
mapya kwa shida sana, akawa
mnyonge kila mara na mwili
ukapoteza afya kiujumla.
Huko gerezani alifanikiwa kupata
rafiki aliyekuwa na cheo ama
jukumu la uzikaji wa wafungwa
hasahasa ambao hawakuwa na
ndugu ama ambao ndugu zao huwa
hawajitokezi pale gerezani.
Mzikaji alijaribu sana kumtia nguvu
Wambura na kumwaminisha kuwa
hiyo ilikuwa hatua tu ya maisha
anapaswa kuizoea na siku moja
ukweli utajulikana tu! Bwana
Wambura maneno ya mzikaji
hayakumuingia kabisa.. alizidi
kunyong'onyea.
"Siwezi kuvumilia kukaa gerezani
miaka mitatu…..kama unajali kilio
changu nisaidie nitoroke kwa
namna yoyote ile ndugu yangu!!"
Wambura alimsihi mzikaji.
SIKU MOJA mzikaji akamwambia
Wambura kuwa msaada
umepatikana. Lakini yataka moyo!!
"Nipo tayari kwa lolote ilimradi tu
nitoke humu!!" alijibu kwa msisitizo
huku akimtegea sikio mzikaji.
"Msaada pekee wa kukutorosha
humu ndani ni kwa njia ya jeneza…
yaani mfungwa akifa mimi
nakuunganisha naye kwenye
jenerza….." akashusha pumzi kisha
akaendelea "Wewe ukisikia kengere
ya msiba, njoo mara moja kwenye
chumba cha maiti, utakuta tayari
sanduku liko katikati ya chumba
linakuwa halijafungwa, funua
kifunioko ingia ndani yake ulale
pembeni ya maiti kwani sanduku
huwa kubwa la kutosha kila aina ya
maiti na hata miili miwili inaingia.
Kisha nitakuja na kulipigilia
misumari. Baada ya mudap
tutalipakia kwenye gari na kutoka
kwenda nje ya gereza makaburini
nikiongozana na baadhi ya
wafungwa na maaskari magereza.
Tutakuzika huko lakini baada ya
dakika 20 hadi 30 nitarudi
kukufukua. Hautaweza kushindwa
kupumua kwa dakika hizo, utatoka
ukiwa huru."
JAPOKUWA wazo lilikuwa zuri lakini
lilimtisha sana Wambura. Hata
hivyo akaona afadhali afanye hivyo
kuliko kukaa gerezani miaka mitatu
bila kosa.
Siku moja akasikia kengele ya
msiba. Akafanya kama
alivyoelekezwa na mzikaji. Akaenda
na kuingia chumba cha maiti. Kweli
akalikuta sanduku, akiwa na hofu
kuu akaingia na kulala pembeni ya
maiti iliyokuwepo. Mara akasikia
mtu ameingia na kulipigilia
msumari sanduku. Muda mfupi
baadaye sanduku likainuliwa na
kuwekwa kwenye gari.
Gari ikatoka nje ya gereza hadi
makaburini. Sanduku likashushwa
na kuwekwa kaburini na kuanza
kufukiwa.
Wambura alijitahidi sana kuvumilia
japo hofu ilizidi kutanda.
Alimtegemea sana mzikaji na
alianza kumuona mkombozi wa
maisha yake.
Kama alivyoambiwa, akasubiri
dakika kumi, ishirini.. zikapita
kimya!!
Dakika thelathini kimya. Joto nalo
likazidi kuongezeka.
"Nitavumilia hadi afike…"
alijisemea kisha akajiongezea kauli
ya ujasiri.
"Kama nilitakiwa kuishi gerezani
miaka mitatu kivipi dakika kadhaa
za hapa kaburini"
KWA kuwa alishakaa gerezani kwa
muda kiasi akatamani kujua
aliyekufa ni nani… ni kwewli
aliogopa kuitazama maiti lakini
aliona kama inatisha zaidi ikiwa
imefunikwa vile kuliko ikiwa wazi.
Akaifunua upande wa usoni… Kwa
kuwa kulikuwa na giza nene
alikodoa sana macho kuitazama.
LAHAULA!!! MACHO YAKAKUTANA
NA SURA YA MZIKAJI!!!