tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Saturday, June 14, 2014

hai beibi

Sista duu amesmama kituoni kwa
pozi zote mara daladala
ikatokea!..akaismamisha kwa mnato
na kupanda!...
Konda: "hai beibi"
Sista duu: (kimya) huku akitingisha
kichwa
Konda: "hai beibi"
Sista duu: "hebu ntolee kelele,kwani
salamu lazima"
Konda: "sijakusalimia nimekwambia
daladala haibebi"