tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Saturday, June 14, 2014

Wamenikata kidole

Watoto wapo hospitali,
mtoto wa kwanza kamwona mwenzie analia
ikawa hivi :-
Mtoto wa 1: Unalia nini?
Mtoto wa 2: Nimekuja kupima damu.
Mtoto wa 1: Ndio sababu unalia?
Mtoto wa 2: Wamenikata kidole changu.
Mtoto wa 1 Na yeye kaangua kilio, kilio balaa zaidi ya mwenzie!!.
Mtoto wa 2: Unalia nini?
Mtoto wa 1: Nimekuja kupima mkojo...!!