tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Saturday, June 14, 2014

DENI WATALIPA WAJUKUU ZAKO

Kuna hotel imeandikwa "KULA UWEZO WAKO DENI WATALIPA WAJUKUU ZAKO". Jamaa akaingia akajivinjari mlo kinoma ilipoletwa bili akaruka! Jamaa:Oya mhudumu pale nje mmeandika vipi au hujui kuxoma au huelew maandish? Mhudumu:Najua na nimeelewa, ila hii sio bili yako alikula babu yako..! Jamaa akazimiaKuna hotel imeandikwa "KULA UWEZO WAKO DENI WATALIPA WAJUKUU ZAKO". Jamaa akaingia akajivinjari mlo kinoma ilipoletwa bili akaruka! Jamaa:Oya mhudumu pale nje mmeandika vipi au hujui kuxoma au huelew maandish? Mhudumu:Najua na nimeelewa, ila hii sio bili yako alikula babu yako..! Jamaa akazimia