tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Wednesday, July 9, 2014

kama Mvua inanyesha

Jamaa alikuwa Ktandani na mke wa mtu mwenyewe akarudi na kugonga Mlango Mke akamwambia Jamaa pitia dirishan Kimbia, jamaa akaanza kubisha eti nje Kuna Mvua, Mwanamke akamwambia Mme wangu ana hasira na ana Pisto, jamaa akachukua Nguo zake na kuruka dirishani na Kukimbia kufika Barabarani akakuta watu wengi wanakimbia wako kwenye Mashindano ya mbio nae akajiunga mmoja akamuulza mbona unakimbia Uchi? Jamaa akajibu napenda sana kukimbia hivi najisikia poa, mwingine akamwambia ndo ukimbie Nguo umebana kwapani? Akajbu sasa niziweke wapi? Mwingine akamuulza kwa hiyo kila ukiwa unakimbia unavaa Kondom? Jamaa huwa navaa kama Mvua inanyesha.