tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Wednesday, July 9, 2014

kufanyiwa usaili

Jost alikuwa anatafuta kazi sana... akaenda ofisi moja na kuanza kufanyiwa usaili,
Afisa: una akili timam
Jost: ndio, ninazo.
Afisa: 1 + 1 =?
Jost: 2
Afisa: nani alimuua Abraham Lincorin?
Jost: mhh! Sijui
Afisa: okey! Kalifanyie kazi hilo afu kesho urudi hapa...
Jost akaenda kwa rafik yake, akaulizwa umepata kazi?

Jost akajibu “ndio, tena nzito kweli, nashughulikia kesi ya mauaji.”