tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Wednesday, July 9, 2014

dawa ya kuacha bangi

Mshikaji alienda kwa Dr kupata dawa ya kuacha bangi, dr akamwambia awe anameza mara tatu kwa siku, mshikaji akamuuliza niwe nameza baada ya kuvuta bangi au kabla?