tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Wednesday, November 16, 2016

Maisha Magumu

Kweli maisha magumu kuna station ya tv ilisema Leo kipindi cha mapishi kitakuwa wali samaki...naona now wanaomba radhi eti watapika ugali na mchicha......