tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Tuesday, March 15, 2016

Utatembea

Jana nilikuwa kwenye mkesha kanisani, wakati tupo kwenye maombi, jirani yangu akanigusa begani nilipojeuka akaniambia amini leo hii utatembea. Nikashangaa nakujiuliza kimoyomoyo nitatembea, Kivipi wakati sina ulemavu wowote au tatizo la kunifanya nishindwe kutembea!
Nikaona isiwe tabu nikamjibu tu 'AMEEEN'
Baada ya mkesha nimefika kituoni nipande gari la kuelekea nyumbani kujicheki nikakuta nimeibiwa nauli.
Basi ......