tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Sunday, March 20, 2016

Frank amefariki

Mume katoka mihangaikoni na kurudi nyumbani anamkuta Mke wake ana huzuni na majonzi huku macho yake Yakiwa yamevimba kwa kulia.

mume: Mbona una hali hiyo mamaa!?
Mke: Frank amefariki.

Kwa hali aliyomkuta nayo ikabidi amuache apumzike aakatoka zake na kwenda varandani kupata chakula.

Mume akaamua kumuuliza dada wa nyumbani.... na kujibiwa hajala amejifungia chumbani tokea aliporudi kazini...

Mume akabaki na mawazo tele juu ya Frank aliyefariki ni nani!!???? Akiangalia anamarafiki na ndugu wanaoitwa Frank. Akapiga moyo konde nakuingia kulala.

Asubuhi wakiwa mezani wanakunywa chai.

Mume: huo msiba ni wa Frank gani na unafanyikia wapi ili nipange ratiba zangu za leo.

Mke: Frank Xavier

Mume: ndio nani huyo mbona hilo jina sijawahi kulisikia?

Mke: si yule wa Kwenye ISIDINGO

Mume: ..*¤*.*¤.¤..¤.*