tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Tuesday, March 15, 2016

Book-keeping

Katika pitapita za JAMBAZI ucku
Alisikia watu wakibishana
kuhusu MILIONI 50,
mmoja
anasema ziweke kwa Nathan
Mwingine akasema tuweke
Bank.
Jambaz kusikia hivyo akaamua kuvunja
mlango,
Ile
kuingia akakuta wanafunzi
wana solve Book-keeping..