tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Wednesday, March 16, 2016

Kazi

WAKUU WA MIKOA wamepewa siku 15 tu wahakikishe hakuna vijana watakao kaa bila kazi.

Kama kijana huna kazi unawekwa ndani.. ukitoka unajikuta huna kazi unarudishwa tena ndani..

Ukitoka unakuta masharti ya kazi uwe hujawahi kufungwa jela. . Unakosa hio kazi alafu unarudishwa tena ndani.🤓🤓