tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Monday, March 14, 2016

Mbezi ya Kimara

Yaani nimepanda gari ya mbezi ya kimara hapa ubungo (mawasiliano) nikijua ni gari ya mnazi mmoja, nimekuja kushituka kusikiaa kimara mwisho.

Tatizo haya magari makubwa ubavuni yana ruti zaidi ya sita.

Ila nafurahi nimepotea kwenye basi, ningekuwa nimepotea kwenye pantoni si ningekuwa kwenye boti za pemba sasa.

Au kwenye treni badaya ya ile ya ubungo sasa ningekuwa nakaribia zambia.