tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Saturday, March 19, 2016

Kitambulisho

MJINI SHULE!!
Chiz kaokota elf kumi jamaa mmoja aliekuwa anapita zake akamuona
JAMAA; oy samahan hicho ni kitambulisho changu!
CHIZI: Ww hata kama cna akil vzur hich xo kitambulisho ni ela ww
JAMAA: angalia vzur!
CHIZI: kama kwel n kitambulish chako w unaitwa nan?
JAMAA; benki kuu ya tanzania
CHIZI: ulizaliwa mwak gan?
JAMAA: mwaka 10000
CHIZI: dah kwel chako samahan kwa usumbuf
JAMAA: aina noma ukiviona vingine basi unitafute
CHIZI:poa