tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Friday, January 29, 2016

Madevu

Jamaa akiwa nyumba ndogo karelax na Mdada, Mdada kwa sauti laini akaanza;
MDADA: Jamani lini utanyoa hizo ndevu, mi sizipendi
SOUD: Bwana ziache mke wangu anazipenda sana hatutaelewana nikizinyoa!
MDADA: Nyoa jamani, au hunipendi?
SOUD: Nakupenda, lakini kwa nini huzipendi?
MDADA: Unajua we handsome boy sana mpenzi, mi nataka niwe nauona uso wako wote swiry…
Soud hatimae akanyoa ndevu zote. Baadae akarudi nyumbani usiku akinyata taratibu na kufanikiwa kupanda kitandani wakati anaanza kulala tu. Mke wake akiwa usingizini akageuka na kumgusa mashavu,
MKE: We JULIUS, huogopi kufa, mume wangu atarudi muda wowote, ondoka haraka bwana!sije ukanivunjia ndoa yangu.....