tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Sunday, February 7, 2016

Ubuyu

MUME: Vipi wife, leo utaratibu wa kuchagua nini kipikwe si unaendelea?

MKE: Kama kawaida mume wangu, ila leo majanga.

MUME: Kuna nini tena?

MKE: Juzi we si ulichagua pilau tukapika? Na jana mimi nikachagua mtori ukapikwa?

MUME: Ndiyo mke wangu.

MKE: Sasa leo zamu ya mwanao Junior., na ameshachagua hatuna budi kutii..

MUME: Kachagua nini?

MKE: Ubuyu!!