tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Tuesday, January 12, 2016

Familia za watu

Ati john is 10 years older than his father, his mother is 40 years old.,20 years younger than john.,find the Age of
1.john
2.father
3.mother

Hii swali nilikuwa naruka..Sio ati ujinga...ni vile tu sipendi kuingilia mambo ya familia za watu..