tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Friday, January 15, 2016

Nyumba inauzwa

Kuna nyumba inauzwa  milioni mbili ipo ndani ya fensi ya matofali inaeneo lenye 40m x 35m inavyumba nane, na sehemu ya kupaki gari, ina maji na umeme.  Ipo mita 100 kutoka barabarani ina x lakini inafutika.