tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Tuesday, January 19, 2016

Magonjwa

Teacher :: Tuandike aina ya magonjwa mbali mbali
Paul::H.I.V
Eliud: cholera
Chrispin: malaria...
Deborah: typhoid
Edson: /

Teacher: Sasa wewe Edson ndo ugonjwa gani huo umeandika  /?
Edson: stroke