tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Friday, January 22, 2016

Nimewaza tu

Nimekaaa nikawaza tu embu ngoja nisaidieni jamani..

Kama uko kwenye mapenzi na mtu zaidi ya mmoja na unasema wote unawapenda basi huo sio moyo tena ni memory card...

Japo kuna watu wana hard disk kabisa