tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Saturday, January 16, 2016

Kuoa ni majaliwa

Kuna vitu ukiona kijana wakiume anavifanya Gheto ujue kuoa ni majaliwa
1.anapika chapati za kusukuma Gheto
2.Anakuna nazi Gheto
3.Anapika makande gheto
4.Ameweka midori kitandani
5.Ameweka kadi mezani
6.Ananunua gunia la mkaa anaweka gheto....
7. kaweka dressing table
8. kanunua vyombo vya ndani vya kutosha.
9. ananunua viungo vingi sana sokoni
10. anapenda kulakula hovyo

Hayo ni mambo yanayo bainisha kuwa upatikanaji wa mke kwa upande wake ni mdogo