tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Wednesday, September 19, 2012

nimefika sehemu ya kukata vitunguu

Mke wa mtu alikua akisoma sms kutoka kwa mpenzi wake ghafla alijikuta akitokwa na machozi baada ya mpenzi wake kumwambia mapenzi yao yamefikia mwisho,mumewe akamuliza nani kakutumia sms?mke akajibu dada ,mume akauliza anasemaje?Mke akajibu ananieleza jinsi ya kupika pilau,mbona unalia?Mume akauliza,,,Ananielekeza jinsi ya kupika pilau ;si nimefika sehemu ya kukata vitunguu!!!!!