tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Wednesday, September 19, 2012

mtoto hachezi tumboni

Mjamzito kaenda hospitali akakutana na daktari aliyegoma mazungumzo yakawa hivi:
Mjamzito: Dokta mtoto hachezi tumboni tangu juzi sijui nifanyeje!
Daktari: Meza kitenesi na filimbi, ukiona bado hachezi meza kadi nyekundu atoke nje kabisa