tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Wednesday, September 19, 2012

HIGH SCHOOL

Mwalimu wa vichaa alinzisha shule chini ya mti kwa vichaa wake, akawacha waendelee kusoma alipo rudi baada ya siku tatu akamkuta mmoja wao yupo juu ya mti akamuuliza vipi? mbona upo huko juu?
Kichaaa: nipo HIGH SCHOOL