tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Wednesday, September 19, 2012

mbona umeanguka

Kichaa alipanda juu ya mti ya mwembe tokea asubuhi, kila mwalimu wake akimwambia ashuke anagoma, Ilipofika jioni akanguka, mwalimu akamuuliza vipi tena mbona umeanguka?
Kichaa: nimeiva.