tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Wednesday, September 19, 2012

mahari yake utaiweza

Ebana kuna jamaa huku kaenda kutoa posa sasa kufika nyumban kwao yule bnt mazungmzo yakawa kama ifuatvyo;
KIJANA-Mzee mimi nimekuja kumchumbia mtoto wenu!
MZEE-Sawa kijana lakin mahari yake utaiweza?
KIJANA-Aaah taja tu mzee wangu haina tatizo maana nimempenda mwenyewe!
MZEE-OK. ni tsh milioni tu.
KIJANA-Nini...!! millioni 2! wakati nyumba ya jirani apo yupo wa laki 1 tu na ana mimba tayari!!!!