tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Wednesday, November 16, 2016

Pombe

Ebwana kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa naskia anagonga mlango wake karibu masaa mawili hivi wakati hapa anaishi peke yake, sijui niende nikamwambie kuwa mwenyewe hayupo katoka?

Punguzeni pombe jamani

Maisha Magumu

Kweli maisha magumu kuna station ya tv ilisema Leo kipindi cha mapishi kitakuwa wali samaki...naona now wanaomba radhi eti watapika ugali na mchicha......

Saturday, October 1, 2016

Chizi

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. Mwezake akamuuliza mbona unalia mwenzangu. Chizi akajibu nimetia vijiko vitatu vya sukari baharini, kila nikionja bado ina chumvi. Mwenzake akacheka sanaaaaaa akamwambia. Hujakoroga!!!!

Thursday, September 29, 2016

Nyoka

umerud geto mida ya saa mbil ucku unaingia ndan ghafla unamuona nyoka kanyanyua shngo juu ana chzesha mkia na ki ulimi kinatoka toka nje.....Kwa ujasili unaamua kuchukua fmbo ili kumuua ...lkn ulivo jasiri zaid unaamua kufnga na mlango af funguo unatupia ktndan unajarbu kumdhuru lkn ghafla umeme unakatika
Hapo ndo utajua nobody can stop Reggae

Wednesday, September 28, 2016

Daladala

Nimepanda daladala inavuja mpaka nikamshauri dereva aache kubeba abiria alime mchicha, hatuwezi kulowa hivi kwa daladala.

Sipendi uzembe mimi

Friday, September 23, 2016

Mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie niamke namuuliza unatafuta nini ananijibu hela ndipo nilipoanza na mie kutafuta nae
maana hta hela ya kula Jana sikua
nayo alichoka zaid nilipomuliza una uhakika uliweka humu?
sipendagi utani na kitu hela mm!

Nani aliuwa Goliath

WAZAZI PELEKENI WATOTO SUNDAY SCHOOL PLEASE!!

TEACHER: Nani aliuwa Goliath......
STUDENT 1: Sio mimi.
STUDENT 2: Sikuwa shule jana. .
STUDENT 3: Mimi sijui.

(The Teacher went and told the Headmaster ati watoto wa hio class hawajui nani aliuwa Goliath.) ... ( headteacher goes to the class.)

HEADTEACHER: Nani aliuwa Goliath.
CLASS: Sio sisi.
H.TEACHER: Mkikosa kuniambia hii darasa itawaka moto.
CLASS: Hatujui teacher.

The H.TEACHER turns and asks the teacher....

"Uko sure Goliath aliuliwa na mtu wa hii
darasa?"

The teacher fainted...

Wednesday, September 21, 2016

Mke wangu

ETI NAMTONGOZA DEMU NAMPA NAMBA ALAFU ANAMPA BOYFRIEND WAKE AKANIPIGIA WE NANI UNAMTONGOZA MKE WANGU NIKAMJIBU MI MUHUDUMU WA GEST MWAMBIE AMESAHAU CHENCHI

Nimekunja sura

Leo kuna mtu nimemtolea uvivu ! amenikuta nimetulia akaniuliza mbona nimekunja sura ...nikamwambia nataka kuiweka kwenye bag.

Sipendangi ujinga mimi

Nilikula kuku

Unamualika binti luch harafu anakuja na maringo, eti oooh.....! Bebe ata sitakula wakati natoka home nilikula kuku....!!

Wewe kwa ugetlemen wako unamnunulia Whisky ya Jack Daniels ya elfu hamsini!

Baada ya binti wa watu kunywa mafunda kadhaa anatapika makande na mahindi ya kuchoma wallah...!!

Sasa apo inabidi umulize romantically .....!!

Sory baby...! Uko sure ulikula kuku au chakula cha kuku

Monday, September 19, 2016

Simu

Siku moja mfanyakazi alienda ofisini uku masikio
yake yote mawili yakiwa yamefungwa bandeji.
Bosi wake akamuuliza imekuaje kuhusu masikio
yako?. Jamaa akajibu.
"jana wakati napiga pasi nguo zangu, simu iliita, kwa
bahati mbaya badala ya kuweka simu sikioni nikaweka pasi".
"Sawa" Bosi akasema, "iyo ni kuhusu sikio moja, na
ilo sikio lingine ilikuaje?" Jamaa akajibu
"simu iliita tena!"

Wazazi wako

Unakutana na mdada ndani ya miezi miwili anataka aje waona wazazi wako. Dada, mi mwenyewe nlikaa miezi 9 tumboni kabla sijawaona wazazi wangu mwenyewe, usiniletee mapenzi ya Mwendokasi.

Sipendagi ujinga mimi

Nyumba za kupanga

UTAMU WA NYUMBA ZA KUPANGA!
Jana neighbor yangu alikuja
akaniambia nipunguze sauti ya radio
anataka kulala.
Leo anapika chapat na mimi
nmemwambia apunguze harufu ya
chapati nataka kula ugali. sipendi ujinga ajue.

Sunday, September 18, 2016

Vipofu

Jion ya jana niliwakuta  vipofu wawili wakipigana
Basi nikapaza sauti na kusema ninamsapoti huyo aliye na kisu
Ghafla wote wakaanza kukimbia mmoja kule mwingne huko.
Ila hakuna aliyekuwa na  kisu

Huwa sipendagi ugomvi mimi

Malaika

MTOTO: mama kwa nn unamuita mdogo angu malaika
MAMA: kwa sababu yeye ni mdogo sana na yupo kama malaika,
kwa nini umeuliza mwanangu?
MTOTO: nimemrusha dirishani nashangaa hajapaa

mama kazimia!!!