Wasambaa wanapenda sana kazi zao hasa udeeva (udereva). Ukimkuta
msambaa msukuma mkokoteni muulize kazi yake utasikia mimi deeva.
tangazo one

Abidal

karibuni
ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.
Saturday, October 25, 2014
Wazaramo
siri ya wazaramo kutopenda shule ni kutokana na wao kuzaliwa
Da es salaamm hivyo hawaoni sababu ni kwa nini waende shule, bali wa kwenda
shule ni watu wa mikoani sababu wao wanasoma ili waje Dar es Salaam.
utasikia wanasema
wazaramo: wewe unasoma uje darichalama, mie nisome niende
wapi?
(wakati ule karibu kila kitu kilikuwa Dar, ajira Dar, Chuo
Kikuu Dar, nk.)
Wednesday, September 24, 2014
M-pesa na tigo pesa
Jost: Dada Mambo?
Chaupele: Powa.
Jost: Samahani, nimevutia na wewe nataka tuwe marafiki, Hivi Uko Facebook?
Chaupele: Hapana.
Jost: Twitter?
Chaupele: Sipo.
Jost: Whatsap?
Chaupele: Sipo.
Jost: Instagram?
Chaupele: Sipo.
Jost: Eeeeh Sasa upo kwenye mtandao gani sasa?
Chaupele: Niko M-pesa na tigo pesa.
Chaupele: Powa.
Jost: Samahani, nimevutia na wewe nataka tuwe marafiki, Hivi Uko Facebook?
Chaupele: Hapana.
Jost: Twitter?
Chaupele: Sipo.
Jost: Whatsap?
Chaupele: Sipo.
Jost: Instagram?
Chaupele: Sipo.
Jost: Eeeeh Sasa upo kwenye mtandao gani sasa?
Chaupele: Niko M-pesa na tigo pesa.
Wednesday, September 17, 2014
huna uwezo wa kupata mimba
Binti mmoja aliamua kwenda kwa dakitari baada ya kuona
hapati mimba, alipofika na baada ya vipimo.
Dakitari: binti inaonyesha wewe ni mgumba kwa hiyo huna
uwezo wa kupata mimba.
Binti: jamaniii (huku akianza kutokwa na machozi).
Dakitari: usilie ngoja tujaribu kuangalia chanzo cha tatizo ni
nini tuone kama kuna msaada.
Binti: naomba unisaidie.
Dakitari: usijali, lakini hili tatizo linaweza kuwa la
kurithi, kwani mama yako aliwahi kuzaa?
Binti: sijui labda nikamuulize.
Dakitari: …………….
Binti:……………
Chaupele
Jost: mambo mrembo, mbona kimya?
Chaupele: unanitaka unagari lakini?
Jost: gari?
Chaupele: ndio gari.
Jost: sina gari.
Chaupele: basi acha kunifuata fuata hunifai
Jost: vipi kwani we unalo?
Chaupele: sina gari.
Jost: una sehemu ya kuosha magari au garage?
Chaupele: sina
Jost: baba yako analo gari?
Chaupele: Hana gari.
Jost: sasa wewe mazoea ya kupanda gari umeyatoa wapi?
Chaupele: nyooooo….. mbwa weee unikome!
baba ni mbahili sana
Baba alikuwa na tabia ya kulala na dada wa kazi, siku moja
mtoto wake wa kiume akamfumania:
Baba: Mwanangu, ebu chukua hii Shs 500 halafu usimuambie
mama yako kuwa nimelala na dada.
Mtoto: sitaki, we baba ni mbahili sana, mbona mama akilala
na mlinzi ananipaga Shs. 1,000?
Monday, July 14, 2014
mara ya mwisho kuongea na boyfriend wako lini?
binti mmoja wa kidato cha kwanza akiwa anatoka shule simu yake iliita alipoitoa akaona ni namba ngeni kwake. alipopokea akakutana na sauti ya kiume na ikamuuliza
mwanaume: Mara ya mwisho kuonana na boyfriend wako ilikuwa lini?
bint: jana jioni nikiwa natoka shule.
mwanaume: kumbe we mtoto una wanaume ngoja urudi nyumbani utanitambua, maana mama yako alikuwa ananiambia nambishia.
bint: baba nilikuwa natania tu, nilijua ni wavulana wanaonisumbua ndio maana nikasema hivyo.
baba yake akakata simu, yule binti akiwa anakaribia kufika nyumbani simu ikaita tena na ninamba mpya na tofauti na ya mwanzo, alipopokea akasikia tena sauti ya kiume.
mwanaume: una boyfriend?
binti: hapana sina
mwanaume: kumbe hunipendi eeh yaani unanikana?
binti: samahani mpenzi nilijua baba yangu, nakupenda sana na ndio maana nikatoroka jana jioni na kuja kwako.
mwanaume: pumbavu, utanikoma nilitaka kupata ushahidi zaidi, juu ya huo upumbavu wako.
Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania
mwanaume: Mara ya mwisho kuonana na boyfriend wako ilikuwa lini?
bint: jana jioni nikiwa natoka shule.
mwanaume: kumbe we mtoto una wanaume ngoja urudi nyumbani utanitambua, maana mama yako alikuwa ananiambia nambishia.
bint: baba nilikuwa natania tu, nilijua ni wavulana wanaonisumbua ndio maana nikasema hivyo.
baba yake akakata simu, yule binti akiwa anakaribia kufika nyumbani simu ikaita tena na ninamba mpya na tofauti na ya mwanzo, alipopokea akasikia tena sauti ya kiume.
mwanaume: una boyfriend?
binti: hapana sina
mwanaume: kumbe hunipendi eeh yaani unanikana?
binti: samahani mpenzi nilijua baba yangu, nakupenda sana na ndio maana nikatoroka jana jioni na kuja kwako.
mwanaume: pumbavu, utanikoma nilitaka kupata ushahidi zaidi, juu ya huo upumbavu wako.
Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania
kanyonyeshe mtoto
MKE: Mbona hawa Brazil hawamchezeshi Neymar ?
MME: Aliumia mechi iliyopita, hawezi kucheza
MKE: Mbona hawajamkodiMESSI??
MME: Hairuhusiwi kukodi... izo sio nyumba za kupanga
kwamba unahamia tu,mpaka uwe una uraia waNchi
yako.
MKE: Mbona hadi wanawake wanacheza umo
uwanjani?
MME :Wapo wapi hao wanawake?
MKE: Si hao wa Brazil wenye
nywele ndefu?
MME: hapana hao ni Wanaume wanaitwa David Luiz na
WILLIUM
MKE: Mbona hao wengine wanapiga Penati 5
wenyewe? eti Refa anapendelea?
MME: Hakuna Penati hapo ni magoli,Brazil wamezidiwa
wanafungwa.
MKE: Mbona Goli 7 ni nyingi na ni Dk ya 80, kwanini
refa
hamalizii tu hapo si bingwa alishajulikana.
MME: Sheria ya mpira mpaka Dk 90 zitimie..
MKE: Huu si mpira wa miguu??
MME: Ndio we unaonaje?
MKE: mbona huyo mwingine anadaka na mikono?
MME: huyo ni kipa
MKE: kwanini huyu Kipa wa Brazil asikimbie na mpira
hadi goli
jingine alafu afunge apunguze magoli au hajui huo
ujanja?
MME: kanyonyeshe mtoto ameamka...
Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania
MME: Aliumia mechi iliyopita, hawezi kucheza
MKE: Mbona hawajamkodiMESSI??
MME: Hairuhusiwi kukodi... izo sio nyumba za kupanga
kwamba unahamia tu,mpaka uwe una uraia waNchi
yako.
MKE: Mbona hadi wanawake wanacheza umo
uwanjani?
MME :Wapo wapi hao wanawake?
MKE: Si hao wa Brazil wenye
nywele ndefu?
MME: hapana hao ni Wanaume wanaitwa David Luiz na
WILLIUM
MKE: Mbona hao wengine wanapiga Penati 5
wenyewe? eti Refa anapendelea?
MME: Hakuna Penati hapo ni magoli,Brazil wamezidiwa
wanafungwa.
MKE: Mbona Goli 7 ni nyingi na ni Dk ya 80, kwanini
refa
hamalizii tu hapo si bingwa alishajulikana.
MME: Sheria ya mpira mpaka Dk 90 zitimie..
MKE: Huu si mpira wa miguu??
MME: Ndio we unaonaje?
MKE: mbona huyo mwingine anadaka na mikono?
MME: huyo ni kipa
MKE: kwanini huyu Kipa wa Brazil asikimbie na mpira
hadi goli
jingine alafu afunge apunguze magoli au hajui huo
ujanja?
MME: kanyonyeshe mtoto ameamka...
Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania
Wednesday, July 9, 2014
Unaumwa nini
Kuna babu mmoja alikutwa stendi ya mabasi analia sana.
Wasamaria wema wakaamua kumsaidia yule babu lakini kila walipokuwa wakimwuliza,
“Babu unalilia nini?” akawa hasemi anaendelea kulia tu, wasamaria wema wakaamua
kumbeba hadi hospitali. Walipofika hospitali daktari akamwuliza babu tatizo
lake ili aweze kumsaidia,
Daktari: Mzee unaumwa nini?
Babu: (Akaendelea kulia kwa muda)
Daktari: Eti babu yangu nini kinakusumbua? Unaumwa nini
nikutibu?
Babu: SIUMWI ILA VIATU VINANIBANA!!!
wamekubaliana na baba
Baba, mtoto wake na jiran yao,walikuwa wawindaji wa wanyawa
pori, kwa kutumia mtego mkubwa wa nyavu (IKILA). Kawaida ya mtego huo mmoja
akae mwishoni mwa urefu na mwingine nae mwshoni vilevlie. Sasa mzee akawa atatafuta
wanyama kila kichaka, bahati nzuir akatokea mnyama aina ya NGIRI, mnyama huyu
huwa ana meno mawili yaliyo tokokeza nje, akaelekezwa na mzee kwnye mtego, akalenga
upande wa mtoto, badala ya kumuuwa, akamkwepa. Alpoulizwa vipi wewe? kasema,
mnyama mwenyewe alikuwa anacheka, mi nikadhani yawezekana kuna maelewano
wamekubaliana na baba.
Dawa ya kuacha Pombe
Mlevi nae akaenda kupata dawa ya kuacha pombe, akambiwa awe
anameza vidonge viwili mara tatu kwa siku, akamuuliza dr, hizi dawa kwani
zinamadhara nikimeza alafu nikanywa pombe?
dawa ya kuacha bangi
Mshikaji alienda kwa Dr kupata dawa ya kuacha bangi, dr akamwambia
awe anameza mara tatu kwa siku, mshikaji akamuuliza niwe nameza baada ya kuvuta
bangi au kabla?
kama Mvua inanyesha
Jamaa alikuwa Ktandani na mke wa mtu mwenyewe akarudi na
kugonga Mlango Mke akamwambia Jamaa pitia dirishan Kimbia, jamaa akaanza kubisha
eti nje Kuna Mvua, Mwanamke akamwambia Mme wangu ana hasira na ana Pisto, jamaa
akachukua Nguo zake na kuruka dirishani na Kukimbia kufika Barabarani akakuta
watu wengi wanakimbia wako kwenye Mashindano ya mbio nae akajiunga mmoja
akamuulza mbona unakimbia Uchi? Jamaa akajibu napenda sana kukimbia hivi najisikia
poa, mwingine akamwambia ndo ukimbie Nguo umebana kwapani? Akajbu sasa niziweke
wapi? Mwingine akamuulza kwa hiyo kila ukiwa unakimbia unavaa Kondom? Jamaa
huwa navaa kama Mvua inanyesha.
kufanyiwa usaili
Jost alikuwa anatafuta kazi sana... akaenda ofisi moja na
kuanza kufanyiwa usaili,
Afisa: una akili timam
Jost: ndio, ninazo.
Afisa: 1 + 1 =?
Jost: 2
Afisa: nani alimuua Abraham Lincorin?
Jost: mhh! Sijui
Afisa: okey! Kalifanyie kazi hilo afu kesho urudi hapa...
Jost akaenda kwa rafik yake, akaulizwa umepata kazi?
Jost akajibu “ndio, tena nzito kweli, nashughulikia kesi ya
mauaji.”
Subscribe to:
Posts (Atom)