tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Saturday, October 25, 2014

Wazaramo

siri ya wazaramo kutopenda shule ni kutokana na wao kuzaliwa Da es salaamm hivyo hawaoni sababu ni kwa nini waende shule, bali wa kwenda shule ni watu wa mikoani sababu wao wanasoma ili waje Dar es Salaam.

utasikia wanasema

wazaramo: wewe unasoma uje darichalama, mie nisome niende wapi?


(wakati ule karibu kila kitu kilikuwa Dar, ajira Dar, Chuo Kikuu Dar, nk.)