tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Monday, July 4, 2011

Mtaji au Faida

Baba mmoja alikuwa anakabiliwa na kesi ya kumbaka bintiye, kesi ilikuwa hivi;
Hakimu: Mtuhumiwa unashitakiwa kwa kosa la kumuingilia binti yako kimwili kwa nguvu. Je ni kweli?
Mtuhumiwa: ndio hakimu ni kweli.
Hakimu: kwa nini ulitenda kosa hilo?
Mtuhumiwa: Ninaruhusiwa kutoa ufafanuzi na kuuliza swali?
Hakimu: Ruksa kama unaweza
Mtuhumiwa: Asante sana kwa kunipa nafasi hii hakimu, napenda kuuliza kuuliza kwa mfano umeanzisha biashara,ukauza ukapata faida wakati unaendeleakufanya biashara likatokea tatizo katika biashara ili kuimarisha biashara yako utachukuwa mtaji au faida?
Hakimu kimya.