tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Wednesday, January 5, 2011

Chuo maalum kwa ajili ya kutoa ajira za chapchap

*Chuo maalum kwa ajili ya kutoa ajira za chapchap kimefunguliwa hapa
Kiborloni,
Chuo Kimesajiliwa na VETA na kina waalimu waliobobea katika nyanja
zote

Chuo kinapokea maombi kwa wanafunzi waliomaliza darasa la saba kwa
ajili ya kozi zifuatazo:*

*1.** **Ulevi Mwezi mmoja;*

*2.** **Ujambazi miezi sita;*

*3.** **Kuchoma mtu kisu wiki moja;*

*4.** **Kuchoma nyama kwenye baa miezi miwili;*

*5. Kung’arisha viatu wiki tatu (maalum kwa vijana wa Rombo);*

*6.** **Kuuza duka miezi mitatu;*

*7.** **Kurekebisha mipaka ya kiwanja cha jirani miezi minne;*

*8.** **Kupata mume msomi na mwenye wadhifa mkubwa miaka miwili;*

*9.** **Kufuga ng’ombe mwaka mmoja;*

*10.** **Kuendesha pick-up miezi minne;*

*11.** **Kugombea udiwani miaka miwili;*

*12.** **Kuendesha pikipiki za bodaboda na bajaji wiki sita;*

*13.** **Kuchakachua mafuta mwaka mmoja;*

*14.** **Kupata kazi TRA miezi mitatu;*

*15.** **Kukwepa kodi wiki nane; na

*16.** **jinsi ya kuishi eneo la Kimara, Dar es salaam.*

*17.** **Kukatisha tiketi kwenye magari ya Moshi, Dar na Arusha ni
bure;*

Mwanafunzi lazima awe mchaga wa kuzaliwa pia baba na mama yake wawe
wachaga, mwenye elimu ya msingi na asizidi miaka 18

mwisho wa kupikea maombi ni kabla ya kuhitimu miaka 19
Nafasi za malazi zipo
*Watakaojiandikisha mapema watafundishwa bila malipo,

Barua kwa anuan hii

chuo

box 54688

Darr Es Malaam
Tanzania

Jost

Mkuu wa chuo