tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Tuesday, November 23, 2010

Mchina na omba-omba

Ombaomba mmoja alipewa noti ya shilingi elfu kumi na mchina, ombaomba yule akaikataa ile elfu kumi ombaomba mwenzake akamuuliza:

Ombaomba: We mbona umeikataa ile noti?
Mwenzake akamjibu kwa kujiamini.
''aa! Hawaaminiki hawa, kama feki je?'