tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Tuesday, November 23, 2010

kwenye ATM


Mwanaume na ATM.
1. Atatoa kadi ya ATM.
2. Ataichomeka.
3. Ataingiza namba ya siri.
4. Atachukua pesa, card na risiti.

Mwanamke na ATM.
1. Ataitoa kadi ya ATM.
2. Atajichek kwenye kioo cha makeup.
3. Atazima gari.
4. Ataweka funguo kwenye pochi.
5. Ataitafuta ATM kadi kwenye pochi.
6. Atachomeka kadi.
7. Atatafuta kikaratasi chenye namba za siri.
8. Atasoma maelekezo kwa dk.2.
9. Atabonyeza CANCEL.
10. Ataingiza namba ya siri upya.
11. Ataangalia balance.
12. Atatafuta kibahasha.
13. Atatafuta peni kwenye pochi.
14. Atatoa hela.
15. Atarudi kwenye gari.
16. Atajiangalia makeup tena.
17. Atatafuta ufunguo kwenye pochi.
18. Atawasha gari.
19. Atarudi tena kwenye ATM.
20. Ataenda chukua kadi na risiti.
21. Ataweka kwenye walet.
22. Atajiangalia makeup tena.
23. Ataondoka mwende kidogo ndio atatoa handbreak.

Mswaki

Siku moja mwanafunzi mmoja katika hostel fulani walikuwa wanashea friji. Ikawa kila akiweka maji ya kunywa anakuta wamekunywa. Akabuni lake siku nyingine akaweka maji yake kama kawaida yake na akatumbukizia mswaki ndani yake ili mwizi wa maji yake ashindwe kunywa. Baadae jioni aliporudi akakuta mswaki wa pili ndani yake.

Mchina na omba-omba

Ombaomba mmoja alipewa noti ya shilingi elfu kumi na mchina, ombaomba yule akaikataa ile elfu kumi ombaomba mwenzake akamuuliza:

Ombaomba: We mbona umeikataa ile noti?
Mwenzake akamjibu kwa kujiamini.
''aa! Hawaaminiki hawa, kama feki je?'

Mchina na omba-omba

Ombaomba mmoja alipewa noti ya shilingi elfu kumi na mchina, ombaomba yule akaikataa ile elfu kumi ombaomba mwenzake akamuuliza:

Ombaomba: We mbona umeikataa ile noti?
Mwenzake akamjibu kwa kujiamini.
''aa! Hawaaminiki hawa, kama feki je?'

Mchina na omba-omba

Ombaomba mmoja alipewa noti ya shilingi elfu kumi na mchina, ombaomba yule akaikataa ile elfu kumi ombaomba mwenzake akamuuliza:

Ombaomba: We mbona umeikataa ile noti?
Mwenzake akamjibu kwa kujiamini.
''aa! Hawaaminiki hawa, kama feki je?'

kipimo Kabla ya ndoa

Kaka mmoja kabla hajaoa dada wa mchumba wake alimuita kwenye maongezi kwa wake zake. Alipofika akamkuta shemeji yake peke yake (dada).

Yule dada akamwambia anaomba afanye nae mapenzi kabla hajamuoa dada ake na kumuambia amfute chumbani jamaa amfuate nyuma.

Jamaa akafikiria kwa muda na kuamua kwenda nje. Huko akakutana na wazazi wakwe wakamwambia 'wow umefaulu kishawishi, karibu kwenye familia yetu'

Jamaa akajibu  nilikuwa nimesahau condom kwenye gari, ndio nazifuata.