tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Friday, February 12, 2016

Mke wangu

Jamaa kapiga simu kumuuliza sheikh.
Jamaa: Sheikh kila siku usiku nikishtuka kwenye usingizi naona nuru/mwanga inatoka kwenye uso wa mke wangu na yeye kajifunika blanket. Na nakuwa nakhofu kukamilisha usingizi wangu. Jee hii ni dalili ya kuwa mke wangu miongoni wa watu wema??

Sheikh: badilisha pin code yako ya simu maana mke wako anapekuwa simu yako wakati umelala