tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Wednesday, November 16, 2016

Pombe

Ebwana kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa naskia anagonga mlango wake karibu masaa mawili hivi wakati hapa anaishi peke yake, sijui niende nikamwambie kuwa mwenyewe hayupo katoka?

Punguzeni pombe jamani

Maisha Magumu

Kweli maisha magumu kuna station ya tv ilisema Leo kipindi cha mapishi kitakuwa wali samaki...naona now wanaomba radhi eti watapika ugali na mchicha......