tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Saturday, May 14, 2016

Umezaliwa wapi?

Mtoto: Baba, kwani wee umezaliwa wapi?
Baba: Mbeya
Mtoto: na mama?
Baba: Tanga
Mtoto: na mimi?
Baba: Dar
Mtoto: sasa tumekutanaje?!